KINANA AWAFUNDA VIONGOZI WA UWT

Na Barnabas kisengi Dodoma Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana amewataka viongozi wa chama hicho kusema mambo mazuri yanayofanywa na serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika maeneo yao.Kinana amesema hayo jijini Dodoma wakati akifungua Mfunzo ya siku mbili ya viongozi wa Umoja wa